PropertyValue
?:author
?:datePublished
  • 2019-07-17 (xsd:date)
?:headline
  • No, ‘creature spotted’ in Kenyan town just another silicone sculpture (en)
?:inLanguage
?:itemReviewed
?:mentions
?:reviewBody
  • Bonyeza hapa ili kusoma ripoti hii kwa Kiswahili. A number of Facebook users have recently posted a photo of a strange, pale four-legged creature with a large head and a face like a chimpanzee. One user captioned it Imepatikana Busia leo asubuhi, which loosely translated from Kiswahili means: It was spotted this morning in Busia. Busia is a Kenyan town 450 kilometres west of Nairobi. Another post of the photo says, Si dunia ina mambo,imagine hii kitu imepatikana busia leo asubuhi, or What a weird world, this creature has been spotted in Busia this morning. It also appears on the Tanzanian social network Jamii Forums , with the comment : Huyu kiumbe anatoka wapi na kwa nini maabara zetu zinashindwa kauchunguza kwa undani kuhusu hili? This means: Where does this creature come from and why have our laboratories failed to research more about it? Silicone sculpture by Italian artist But the creature isn’t real. It’s a silicone sculpture by Italian artist Laira Maganuco. The artwork is titled Dog Man. It’s for sale on Etsy , an e-commerce website where artists sell their work. Maganuco says the piece is carved entirely by hand in acetic silicone paste, a technique she developed. Videos of the sculpture on her Facebook page and YouTube channel show it in more detail. Photos of Maganuco’s sculptures by have been used many times to spread misinformation. Africa Check debunked claims about her creations on 28 January 2019 , 28 May 2019 and 15 May 2019 . – Dancan Bwire La, kiumbe kilichoripotiwa kuonekana katika mji wa Kenya ni kinyago kilichotengenezwa kwa silikoni Watumizi kadhaa wa mtandao wa kijamii wa Facebook hivi karibuni walichapisha picha ya kiumbe cha ajabu, chenye miguu minne, kichwa kikubwa na uso unaofanana na wa sokwe. Mtumizi mmoja aliandika : Imepatikana Busia leo asubuhi. Busia ni mji wa Kenya takribani kilomita 450 kutoka jiji kuu la Nairobi upande wa magharibi mwa nchi hiyo. Chapisho lingine la picha hiyo linasema: Si dunia ina mambo, imagine hii kitu imepatikana busia leo asubuhi. Inaonekana pia kwenye tovuti moja Tanzania iitwayo Jamii Forums na maelezo haya: Huyu kiumbe anatoka wapi na kwa nini maabara zetu zinashindwa kauchunguza kwa undani kuhusuhili? Kinyago cha silikoni cha msanii wa kiitaliano Lakini kiumbe hicho sio cha kweli. Ni kinyago cha silikoni kilichotengenezwa na msanii wa Italia, Laira Maganuco . Kazi hiyo inafahamika kama Mbwa Mtu. Inauzwa kwenye Etsy , tovuti ambayo wasanii hutumia kuuza kazi zao. Maganuco anasema kinyago hiki kilichongwa kikamilifu kwa mkono kutumia silikoni, mbinu aliyoibuni mwenyewe. Video za vinyago kwenye ukurasa wake wa Facebook na chaneli yake ya YouTube zinaonyesha kinyago hicho kwa undani zaidi. Picha za vinyago vya Maganuco zimetumiwa mara nyingi kueneza habari za uwongo. Mnamo tarehe 28 Januari 2019 , 28 Mei 2019 na 15 Mei 2019 Afrika Check ilikosoa madai mengine yaliyosambaa kuhusu vinyago vingine alivyovitengeneza . – Dancan Bwire (sw)
?:reviewRating
rdf:type
?:url